sw_tn/jhn/15/14.md

12 lines
294 B
Markdown

# Ninyi ni rafiki zangu ikiwa mtafanya yale niwaagizayo
Mnaonesha ya kuwa mu rafiki zangu ikiwa mtaendelea kufanya yae niliyowaagiza
# nimewajulisha mambo yote ambayo nimesikia kutoka kwa Baba
Nimewaambia kila kitu ambacho Baba yangu aliniambia.
# Baba yangu
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu