sw_tn/jhn/15/14.md

294 B

Ninyi ni rafiki zangu ikiwa mtafanya yale niwaagizayo

Mnaonesha ya kuwa mu rafiki zangu ikiwa mtaendelea kufanya yae niliyowaagiza

nimewajulisha mambo yote ambayo nimesikia kutoka kwa Baba

Nimewaambia kila kitu ambacho Baba yangu aliniambia.

Baba yangu

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu