sw_tn/jhn/15/10.md

335 B

Ikiwa mtazishika amri zangu, mtadumu katika pendo langu kama nilivyozshika amri za baba yangu na kudumu katika pendo lake.

Wanafunzi wanapomtii Yesu, wanaonesha upendo wao kwake.

Baba yangu

Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu

ili kwamba furaha yenu ifanyike kuwa timilifu

Unaweza kutafsiri hii kama, "ili furaha yenu itimie."