sw_tn/jhn/15/05.md

449 B

Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi

Mzabibu unamwakilisha Yesu. Matawi yanawakilisha wale wote wanaomwamini Yesu.

Yeye akaaye ndani yangu nami ndani yake

Yesu anajaribu kueleza kuwa wanafunzi wake wameunganisha na yeye kama yeye alivyounganishwa nao

huzaa sana

Hii inamwelezea muumini anayempendeza Mungu kwamba kama vile tawi lizaalo sana.

ombeni lolote mtakalo

Yesu anawaambia waumini kwamba ni lazima wamuombe Mungu ajibu maombi yao.