forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
449 B
Markdown
16 lines
449 B
Markdown
|
# Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi
|
||
|
|
||
|
Mzabibu unamwakilisha Yesu. Matawi yanawakilisha wale wote wanaomwamini Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Yeye akaaye ndani yangu nami ndani yake
|
||
|
|
||
|
Yesu anajaribu kueleza kuwa wanafunzi wake wameunganisha na yeye kama yeye alivyounganishwa nao
|
||
|
|
||
|
# huzaa sana
|
||
|
|
||
|
Hii inamwelezea muumini anayempendeza Mungu kwamba kama vile tawi lizaalo sana.
|
||
|
|
||
|
# ombeni lolote mtakalo
|
||
|
|
||
|
Yesu anawaambia waumini kwamba ni lazima wamuombe Mungu ajibu maombi yao.
|