|
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Simulizi inaendelea. Yesu anaketi mezani pamoja na wanafunzi wake
|
|
|
|
# Mimi ni mzabibu wa kweli
|
|
|
|
Yesu anajilinganisha mwenyewe na mzabibu kwa kuwa yeye ni chanzo cha uzima.
|
|
|
|
# Baba yangu ndiye mkulima
|
|
|
|
Hii inamaanisha "Mungu" ni kama mkulima
|