sw_tn/jhn/15/01.md

262 B

Sentensi unganishi

Simulizi inaendelea. Yesu anaketi mezani pamoja na wanafunzi wake

Mimi ni mzabibu wa kweli

Yesu anajilinganisha mwenyewe na mzabibu kwa kuwa yeye ni chanzo cha uzima.

Baba yangu ndiye mkulima

Hii inamaanisha "Mungu" ni kama mkulima