sw_tn/jhn/14/21.md

425 B

kupenda

Aina ya upendo huu huja kutoka kwa Mungu na unalenga kufanya mema kwa wengine, hata kama hautafaa kwa mhusika. Aina ya upendo huu hujari wengine, haijalishi wanafanya nini.

Yeyote anipendaye mimi atapendwa na Baba yangu

Wakati mmoja anampenda Yesu, naye Baba ampenda mtu yule.

Baba yangu

Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu.

Yuda (Siyo Iskarioti)

Huyu ni Yuda mwingine si yule aliyemsulubisha Yesu.