forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
425 B
Markdown
16 lines
425 B
Markdown
|
# kupenda
|
||
|
|
||
|
Aina ya upendo huu huja kutoka kwa Mungu na unalenga kufanya mema kwa wengine, hata kama hautafaa kwa mhusika. Aina ya upendo huu hujari wengine, haijalishi wanafanya nini.
|
||
|
|
||
|
# Yeyote anipendaye mimi atapendwa na Baba yangu
|
||
|
|
||
|
Wakati mmoja anampenda Yesu, naye Baba ampenda mtu yule.
|
||
|
|
||
|
# Baba yangu
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Yuda (Siyo Iskarioti)
|
||
|
|
||
|
Huyu ni Yuda mwingine si yule aliyemsulubisha Yesu.
|