forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
523 B
Markdown
24 lines
523 B
Markdown
# Je! Twawezaje kuijua njia?
|
|
|
|
"Je! Tunawezaje kujua namna ya kufika pale?"
|
|
|
|
# njia
|
|
|
|
Hii inaweza kuwa 1)"njia kwa Mungu" au 2) "mtu yule awapelekaye watu kwa Mungu."
|
|
|
|
# kweli
|
|
|
|
Hii inaweza kuwa 2) "mtu wa kweli" au 2) "mtu anayenena maneno ya kweli."
|
|
|
|
# uzima
|
|
|
|
"mtu ambaye anaweza kuwafanya watu wawe hai."
|
|
|
|
# Yesu alimwambia, "Mimi ni njia, kweli, na uzima; hakuna mmoja wenu huja kwa Baba isipokuwa kupitia kwangu
|
|
|
|
Yesu, Mwana wa Mungu, ni njia pekee kwenda kwa Mungu Baba.
|
|
|
|
# Baba
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu.
|