sw_tn/jhn/14/04.md

523 B

Je! Twawezaje kuijua njia?

"Je! Tunawezaje kujua namna ya kufika pale?"

njia

Hii inaweza kuwa 1)"njia kwa Mungu" au 2) "mtu yule awapelekaye watu kwa Mungu."

kweli

Hii inaweza kuwa 2) "mtu wa kweli" au 2) "mtu anayenena maneno ya kweli."

uzima

"mtu ambaye anaweza kuwafanya watu wawe hai."

Yesu alimwambia, "Mimi ni njia, kweli, na uzima; hakuna mmoja wenu huja kwa Baba isipokuwa kupitia kwangu

Yesu, Mwana wa Mungu, ni njia pekee kwenda kwa Mungu Baba.

Baba

Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu.