forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
329 B
Markdown
12 lines
329 B
Markdown
# Usiruhusu moyo wako kuwa katika mahangaiko.
|
|
|
|
Huu ni msemo wenye maana kwamba , "acha kuogopa na kuwa na mashaka"
|
|
|
|
# Katika nyumba ya Baba yangu kuna makazi mengi...
|
|
|
|
Mungu Baba ametayarisha eneo mbinguni kwa kila mtu ambaye ni muumini, kuishi pamoja naye na Mwanawe milele.
|
|
|
|
# Baba
|
|
|
|
Hiki ni cheo cha muhimu kwa ajili ya Mungu.
|