sw_tn/jhn/14/01.md

329 B

Usiruhusu moyo wako kuwa katika mahangaiko.

Huu ni msemo wenye maana kwamba , "acha kuogopa na kuwa na mashaka"

Katika nyumba ya Baba yangu kuna makazi mengi...

Mungu Baba ametayarisha eneo mbinguni kwa kila mtu ambaye ni muumini, kuishi pamoja naye na Mwanawe milele.

Baba

Hiki ni cheo cha muhimu kwa ajili ya Mungu.