sw_tn/jhn/14/01.md

12 lines
329 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Usiruhusu moyo wako kuwa katika mahangaiko.
Huu ni msemo wenye maana kwamba , "acha kuogopa na kuwa na mashaka"
# Katika nyumba ya Baba yangu kuna makazi mengi...
Mungu Baba ametayarisha eneo mbinguni kwa kila mtu ambaye ni muumini, kuishi pamoja naye na Mwanawe milele.
# Baba
Hiki ni cheo cha muhimu kwa ajili ya Mungu.