sw_tn/jhn/12/46.md

223 B

Sentensi unganishi:

Yesu anaendelea kuongea na makutano

Nimekuja kama nuru

Hii inamaana ya "Nikuja kuwaonesha iliyo kweli"

wasibaki gizani

"giza" hapa humaanisha kuishi katika ujinga wa kutokujua kweli ya Mungu.