|
# Maelezo ya jumla:
|
|
|
|
Yohana anaanza kuongelea juu ya kutimizwa kwa unabii ambao nabii Isaya alitabiri.
|
|
|
|
# ili kwamba neno la nabii Isaya litimizwe
|
|
|
|
kwa ajili ya kutimiza ujumbe wa nabii Isaya
|
|
|
|
# mkono wa Bwana
|
|
|
|
Hii inamaanisha, uwezo wa Bwana wa kuokoa kwa nguvu.
|