sw_tn/jhn/12/37.md

264 B

Maelezo ya jumla:

Yohana anaanza kuongelea juu ya kutimizwa kwa unabii ambao nabii Isaya alitabiri.

ili kwamba neno la nabii Isaya litimizwe

kwa ajili ya kutimiza ujumbe wa nabii Isaya

mkono wa Bwana

Hii inamaanisha, uwezo wa Bwana wa kuokoa kwa nguvu.