Maelezo ya jumla:
Yohana anaanza kuongelea juu ya kutimizwa kwa unabii ambao nabii Isaya alitabiri.
ili kwamba neno la nabii Isaya litimizwe
kwa ajili ya kutimiza ujumbe wa nabii Isaya
mkono wa Bwana
Hii inamaanisha, uwezo wa Bwana wa kuokoa kwa nguvu.