sw_tn/jhn/12/12.md

254 B

Hosana

Hii inamaanisha "Mungu aokoe."

Mbarikiwa

Hii huelezea hamu ya kutaka Mungu afanye mambo mazuri kwa mtu huyo.

ajae kwa jina la Bwana

Kuja kwa jina la mtu fulani humaanisha kutumwa kwa mamlaka na nguvu zake, au kuja kama mwakilishi wake.