forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
254 B
Markdown
12 lines
254 B
Markdown
|
# Hosana
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha "Mungu aokoe."
|
||
|
|
||
|
# Mbarikiwa
|
||
|
|
||
|
Hii huelezea hamu ya kutaka Mungu afanye mambo mazuri kwa mtu huyo.
|
||
|
|
||
|
# ajae kwa jina la Bwana
|
||
|
|
||
|
Kuja kwa jina la mtu fulani humaanisha kutumwa kwa mamlaka na nguvu zake, au kuja kama mwakilishi wake.
|