sw_tn/jhn/11/33.md

251 B

alisikitika sana moyoni mwake na roho yake iliumia

Yohana anatumia sentensi hizi mbili kuelezea uzito wa maumivu ya moyo ambayo Yesu aliyapata.

Mme mweka wapi

Hii ni njia nyingine ya kuuliza, "mmemzika wapi?"

Yesu akalia

Yesu alianza kulia