sw_tn/jhn/10/25.md

486 B

Katika jina la Baba yangu

Hii inamaanisha kuwa Yesu alifanya mambo haya kwa uwezo na mamlaka ya Baba yake. Yesu ni mkamilifu , mtakatifu Mwana w Mungumwenye uwezo wa milele kutoka kwa Baba ili kulipa kwa ajili ya dhambi zote milele na kuokoa na kuwasamehe wote waliomwamini.

Haya yanashuhudia kuhusu mimi

Miujiza yake ilithibitisha kuhusu yeye kama vile shahidi anavyoshuhudia mahakamani.

Siyo kondoo wangu

"Siyo wafuasi wangu" au "siyo wanafunzi wangu" au "siyo watu wangu"