sw_tn/jhn/10/14.md

498 B

Mimi ni mchungaji mwema

Mini nafanana na mchungaji mwema

Baba ananijua mimi, nami namjua Baba

Mungu Mwana na Mungu Baba (na Mungu Roho Mtakatifu) wanafahamiana na wote ni nafsi ya Mungu.

Baba

Hiki ni cheo maalumu cha Mungu

Zizi

Kundi la kondoo linalomilikiwa na mchungaji. Neno hili linatokana na neno "Zizi" mahali ambapo kondoo hukaa.

Nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo

Hii ni njia ya upole ya Yesu kusema kwamba atakufa ilikuwalinda kondoo. "Ninakufa kwa ajili ya kondoo."