sw_tn/jhn/10/07.md

508 B

Amini, amini

Tafsiri kama ulivyofanya katika Yoh. 1:49

Mimi ni mlango wa kondoo

"Mimi ni njia wanayoipitia kondoo kwenda zizini." Yesu anasema yeye ndiye anayeruhusu kuingia. Neno "kondoo" limetumika kumaanisha watu wa Mungu.

Wote waliokuja kabla yangu

Hili linarejea kwa walimu wengine waliofundisha kabla ya Yesu.

wezi na wanyang'anyi

Yesu anawaita "wezi na wanyang'anyi" kwa sababu mafiundisho yao yalikuwa ya uongo, na walikuwa wakkijaribu kuwaongoza watu wa Mungu wakati hawaujui ukweli.