sw_tn/jhn/08/54.md

8 lines
222 B
Markdown

# Ni Baba yangu anayenitukuza
Hakuna mwanadamu amjuaye Mungu Baba kama Mungu Mwana, Yesu Mwana wa Mungu. Mungu Baba humtukuza Mwana kwa sababu wote Baba na Mwana ni Mungu wa milele.
# Baba
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu