sw_tn/jhn/08/54.md

222 B

Ni Baba yangu anayenitukuza

Hakuna mwanadamu amjuaye Mungu Baba kama Mungu Mwana, Yesu Mwana wa Mungu. Mungu Baba humtukuza Mwana kwa sababu wote Baba na Mwana ni Mungu wa milele.

Baba

Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu