sw_tn/jhn/08/28.md

455 B

Utakapoinuliwa juu

Utakapoinuliwa. Hili halijatokea bado.

Mwana wa Mtu.... Baba

Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano wa Yesu na Mungu.

MIMI NDIYE...BABA alinifundisha

kama Mungu Mwana, anavyomjua Mungu Baba tofauti na mwingine yeyote, na divyo ilivyo wakati wote

Kama Baba alivyonifundisha

katika njia ile ile kwamba Baba alinifundisha

Yeye aliyenituma

Neno linamaanisa Baba

Kama Yesu alivyosema

wakati Yesu alipokuwa akisema