sw_tn/jhn/08/07.md

377 B

Wakati walipoendelea

Neno "walipo" linarejea kwa waandishi na Mafarisayo.

Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu

"Kama yeyote kati yenu hana dhambi" au Ikiwa mmoja kati yenu hajatenda dhambi kamwe"

Miongoni mwenu

Yesu alikuwa anaongea na waandishi na Mafarisayo, na pengine makutano ya watu pia.

Mwacheni

Mwacheni mtu huyo

Aliinama chini

Aliinama kufikia chini