sw_tn/jhn/07/50.md

415 B

Sheria yetu humhukumu mtu

Nikodemo alimaanisha kuwa wale wanaoifuata sheria hawamhukumu mtu kabla ya kumhoji.

sheria yetu humhukumu mtu... sivyo?

"Sheria yetu ya Kiyahudi haituruhusu kumhukumu mtu

Na wewe pia unatokea Galilaya?

Inawezekana pia na wewe ni mmoja wa watu wa chini kutoka Galilaya

Hakuna Nabii anayetoka Galilaya

Hii pengine ilirejea katika imani kwamba Masihi hawezi kuzaliwa Galilaya