forked from WA-Catalog/sw_tn
415 B
415 B
Sheria yetu humhukumu mtu
Nikodemo alimaanisha kuwa wale wanaoifuata sheria hawamhukumu mtu kabla ya kumhoji.
sheria yetu humhukumu mtu... sivyo?
"Sheria yetu ya Kiyahudi haituruhusu kumhukumu mtu
Na wewe pia unatokea Galilaya?
Inawezekana pia na wewe ni mmoja wa watu wa chini kutoka Galilaya
Hakuna Nabii anayetoka Galilaya
Hii pengine ilirejea katika imani kwamba Masihi hawezi kuzaliwa Galilaya