Ndipo Mafarisayo walipowajibu
Hapa "wao" inamaanisha walinzi wa hekalu.
Kupotoshwa
Kudanganywa
Kuna yeyote kati ya watawala aliyemwamini, au yeyote kati ya Mafarisayo?
"Si watawala wala Mafarisayo waliomwamini."
Sheria
Hii ilirejea sheria ya Mafarisayo na si sheria ya Musa.