sw_tn/jhn/07/47.md

290 B

Ndipo Mafarisayo walipowajibu

Hapa "wao" inamaanisha walinzi wa hekalu.

Kupotoshwa

Kudanganywa

Kuna yeyote kati ya watawala aliyemwamini, au yeyote kati ya Mafarisayo?

"Si watawala wala Mafarisayo waliomwamini."

Sheria

Hii ilirejea sheria ya Mafarisayo na si sheria ya Musa.