sw_tn/jhn/07/37.md

938 B

Sasa

Neno "sasa" linatumika hapa kuonyesha mkato ndani ya mstari mkuu wa hadithi.

Siku kubwa

Ni "kubwa" kwa sababu ni ya mwisho, au muhimu zaidi siku ya sikukuu.

Ikiwa yeyote ana kiu

Hii inamaanisha hamu ya mambo ya Mungu, kama vile mwingine anavyoweza kuwa na hamu au "kiu" kwa maji.

Na aje kwangu anywe.

Neno "yeye" maana yake "yeyote." Neno "kunywa" hapa linawakilisha utimilifu wa kiroho katika Kristo.

Maandiko

Hapa "maandiko" linasimama kwa unabii wa Masihi kuhusiana na Kristo. Hii siyo nukuu ya moja kwa moja kutoka fungu lolote maalum la Agano la Kale.

kutiririka ito ya maji ya uzima

Kristo atatoa pumziko la "kiu" ya kiroho kwa watu katika kiwango kikubwa kwamba itatiririkia nje kumsaidia kila aliyepo kama

Maji ya uzima

Hii inamaanisha 1) "maji yatoayo uzima" au "maji yanayowafanya watu kuishi au 2) maji ya asili yatiririkayo kutoka kwenye chemchemi, iliyotofautishwa na maji yatokayo kisimani.