forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
938 B
Markdown
28 lines
938 B
Markdown
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Neno "sasa" linatumika hapa kuonyesha mkato ndani ya mstari mkuu wa hadithi.
|
||
|
|
||
|
# Siku kubwa
|
||
|
|
||
|
Ni "kubwa" kwa sababu ni ya mwisho, au muhimu zaidi siku ya sikukuu.
|
||
|
|
||
|
# Ikiwa yeyote ana kiu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha hamu ya mambo ya Mungu, kama vile mwingine anavyoweza kuwa na hamu au "kiu" kwa maji.
|
||
|
|
||
|
# Na aje kwangu anywe.
|
||
|
|
||
|
Neno "yeye" maana yake "yeyote." Neno "kunywa" hapa linawakilisha utimilifu wa kiroho katika Kristo.
|
||
|
|
||
|
# Maandiko
|
||
|
|
||
|
Hapa "maandiko" linasimama kwa unabii wa Masihi kuhusiana na Kristo. Hii siyo nukuu ya moja kwa moja kutoka fungu lolote maalum la Agano la Kale.
|
||
|
|
||
|
# kutiririka ito ya maji ya uzima
|
||
|
|
||
|
Kristo atatoa pumziko la "kiu" ya kiroho kwa watu katika kiwango kikubwa kwamba itatiririkia nje kumsaidia kila aliyepo kama
|
||
|
|
||
|
# Maji ya uzima
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha 1) "maji yatoayo uzima" au "maji yanayowafanya watu kuishi au 2) maji ya asili yatiririkayo kutoka kwenye chemchemi, iliyotofautishwa na maji yatokayo kisimani.
|