forked from WA-Catalog/sw_tn
310 B
310 B
Kiunganishi cha maneno
Baadhi ya Wayahudi waliopo wanaanza kubishana wenyewe na Yesu anajibu kwa swali lao.
Amini, amini
tafsiri hili kama ulivyo tafsiri maneno mengine ya namma hii.
kula mwili wa Mwana Adamu na kunywa damu yake
Kumpokea Mwana wa Adamukwa imani ni sawa kupokea chakula na kinywaji.