sw_tn/jhn/06/43.md

514 B

kiunganishi cha maneno:

Yesu anaendela kuongea na mkutano na sasa anaongea na viongozi wa Wayahudi.

kuvuta

hii inaweza kufasiriwa 1) "kuvuta" 2)"kuvutia"

imeandikwa katika manabii

"Manabii waliandika"

Kila aliyekwisha sikia na kujifunza kwa Baba huja kwangu

Wayahudi walifikiri Yesu alikuwa mwana wa Yusufu" lakini ni Mwana wa Mungu kwa sababu Baba yake ni Mungu Baba , sio Yusufu. Wale wote ambao kweli wanajifunza kwa Mungu Baba wanaamini katika Yesu, Mungu Mwana.

Baba

Cheo muhimu kwa Mungu.