forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
514 B
Markdown
20 lines
514 B
Markdown
|
# kiunganishi cha maneno:
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendela kuongea na mkutano na sasa anaongea na viongozi wa Wayahudi.
|
||
|
|
||
|
# kuvuta
|
||
|
|
||
|
hii inaweza kufasiriwa 1) "kuvuta" 2)"kuvutia"
|
||
|
|
||
|
# imeandikwa katika manabii
|
||
|
|
||
|
"Manabii waliandika"
|
||
|
|
||
|
# Kila aliyekwisha sikia na kujifunza kwa Baba huja kwangu
|
||
|
|
||
|
Wayahudi walifikiri Yesu alikuwa mwana wa Yusufu" lakini ni Mwana wa Mungu kwa sababu Baba yake ni Mungu Baba , sio Yusufu. Wale wote ambao kweli wanajifunza kwa Mungu Baba wanaamini katika Yesu, Mungu Mwana.
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Cheo muhimu kwa Mungu.
|