forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.1 KiB
Markdown
28 lines
1.1 KiB
Markdown
# Yohana 05 Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
## Dhana maalum katika sura hii
|
|
|
|
### Baraza
|
|
|
|
Wayahudi wengi waliamini kwamba baraza hizi zilikuwa na uwezo wa kuponya. Hii ilifanyika wakati maji "yalichochewa." (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
|
|
|
|
### "Ufufuo wa hukumu"
|
|
|
|
Haya ni marejeo ya wakati baada ya kifo ambapo watu wote watahukumiwa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/other/death]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/judge]])
|
|
|
|
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
|
|
|
|
### Mwana, Mwana wa Mungu
|
|
|
|
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana," "Mwana wa Binadamu" na "Mwana wa Mungu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujielezea katika 'mtu wa tatu.' (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sonofman]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sonofgod]])
|
|
|
|
### "Ameshuhudia juu yangu"
|
|
|
|
Yesu anazungumza juu ya Agano la Kale kushuhudia kumhusu yeye. Agano la Kale linatoa unabii mwingi kuhusu Masihi ambayo yalielezea kuhusu Yesu kabla ya kuja kwake duniani. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/christ]])
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[John 05:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__
|