sw_tn/jhn/05/intro.md

28 lines
1.1 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Yohana 05 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Baraza
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Wayahudi wengi waliamini kwamba baraza hizi zilikuwa na uwezo wa kuponya. Hii ilifanyika wakati maji "yalichochewa." (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### "Ufufuo wa hukumu"
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Haya ni marejeo ya wakati baada ya kifo ambapo watu wote watahukumiwa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/other/death]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/judge]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Mwana, Mwana wa Mungu
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Yesu anajiita mwenyewe kama "Mwana," "Mwana wa Binadamu" na "Mwana wa Mungu." Lugha zingine haziwezi kuruhusu mtu kujielezea katika 'mtu wa tatu.' (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sonofman]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sonofgod]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### "Ameshuhudia juu yangu"
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Yesu anazungumza juu ya Agano la Kale kushuhudia kumhusu yeye. Agano la Kale linatoa unabii mwingi kuhusu Masihi ambayo yalielezea kuhusu Yesu kabla ya kuja kwake duniani. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/christ]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[John 05:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__