sw_tn/jhn/05/26.md

422 B

Kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake, vivyo hivyo amempa Mwana ili awe na uzima ndani yake

Neno "kwa" linaonyesha ulinganifu. Mwana wa Mungu ana uzima sawa kama aliona nao Baba.

Baba...Mwana wa Adamu

Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea ushirika kati ya Mungu na Yesu.

uzima

hii ina maanisha uzima wa kiroho

Baba amempa Mwana Mwana uwezo kufanya hukumu

Mwana wa Mungu ana mamlaka ya Mungu Baba kuhukumu.