sw_tn/jhn/05/25.md

277 B

Amini, amini

Tafsiri hii kama ulivyotafsiri mahali pengine pa "amini, amini."

wafu wataisikia sauti yangu,Mwana wa Mungu, na wao waisikiao watakuwa hai

Sauti ya Yesu , Mwana wa Mungu, itawafufua wafu kutoka makaburini.

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.