sw_tn/jhn/05/21.md

714 B

Kama vile Baba afufuavyo wafu na kuwapa uzima...Mwana pia humpa uzima kwa yeyote apendaye

Neno "kwa" ni linganifu Mwan wa Mungu (Mungu Mwana) anatoa maisha kama Mungu Baba anavyotoa uzima.

Baba...Mwana

Hivi ni vyeo ambavyo vinaelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

uzima

ina maanisha "uzima wa kiroho."

Kwa kuwa Mwana Baba hamhukumu mtu yeyote, bali amempa Mwana uwezo wote wa kuhukumu.

Neno "kwa" linaonesha ulinganifu. Mwana wa Mungu ndiye anayehukumu kwa niaba ya Mungu Baba.

mheshimu Mwana kama ...Baba. Yeye amuheshimu Mwana hamheshimu Baba

Mungu Mwana ni lazima aheshimiwe na kuabudiwa kama vile ambavyo Mungu Baba. Kama tukishindwa kumuheshimu, pia tunashindwa kumuheshimu Mungu Baba.