sw_tn/jhn/04/43.md

578 B

Maelezo kwa Ujumla:

hii ni sehemu ya simulizi ambayo Yesu anatelemka kwenda Galilaya na anamponya kijana.Mstari 44 inatupa habari kuhusu kitu ambacho Yesu alikuwa amekisema mwanzoni.

Kwa kuwa Yesu mwenyewe alitangaza

yeye mwenyewe limeongezwa kwa kutia msisitizo kwamba Yesu alikuwa ametangaza" au alisema haya.. Unaweza kuliweka katika lugha kwa jinsi ya kutia msisitizo kwa mtu.

nabii hana heshima katika nchi yake

Watu haonyeshi heshima au kumuhesimu nabii wa nchi ya kwao" au "nabii haheshimiwi na watu wa jamii yake."

kwenye sikukuu

sikukuu hapa ni Pasaka.