sw_tn/jhn/04/31.md

515 B

Wakati wa mchana

"Wakati mwananamke alipokuwa akienda mjini"

Wanafunzi walikuwa wakimuuliza

"wanafunzi walikuwa wakimwambia Yesu" au wanafunzi walikuwa wakimtia moyo"

Ninacho chakula ambacho hamkijui

Hapa Yesu haongelei "chakula" bali anawaandaa wanafunzi wake kwa ajili ya fundisho la kiroho.

Hakuna mtu ambaye amemlea kitu chochote

Wanafunzi wanafikiri kuwa anaongelea chakula cha kawaida.Wakaanza kuulizana wakitegemea mwitikio wa hapana. Hakika hakuna mtu aliye mletea chakula tulipokuwa mjini!"