sw_tn/jhn/04/27.md

257 B

Wakati huo wanafunzi wake wakarudi

"wakati Yesu alipokuwa akiyasema haya wanafunzi wake walirudi kutoka mjini."

nao walikuwa wakishangaa kwa nini alikuwa akiongea na mwanamke

lilikuwa ni jambo la nadra kwa Muyahudi kuongea na mwanamke asiye mfahamu.