sw_tn/jhn/04/27.md

8 lines
257 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Wakati huo wanafunzi wake wakarudi
"wakati Yesu alipokuwa akiyasema haya wanafunzi wake walirudi kutoka mjini."
# nao walikuwa wakishangaa kwa nini alikuwa akiongea na mwanamke
lilikuwa ni jambo la nadra kwa Muyahudi kuongea na mwanamke asiye mfahamu.