forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
257 B
Markdown
8 lines
257 B
Markdown
|
# Wakati huo wanafunzi wake wakarudi
|
||
|
|
||
|
"wakati Yesu alipokuwa akiyasema haya wanafunzi wake walirudi kutoka mjini."
|
||
|
|
||
|
# nao walikuwa wakishangaa kwa nini alikuwa akiongea na mwanamke
|
||
|
|
||
|
lilikuwa ni jambo la nadra kwa Muyahudi kuongea na mwanamke asiye mfahamu.
|