|
# Ninafahamu kwamba Masihi...Kristo
|
|
|
|
Haya maneno mawili yana maanisha "mfalme aaliyeahidia na Mungu."
|
|
|
|
# atatwambia kila kitu
|
|
|
|
Haya maneno "atawambia kila kitu" yanamaanisha mambo yote ambayo watu wanahitaji kujua. "atatwambia kila kitu tunachohitaji kufahamu."
|