sw_tn/jhn/04/15.md

8 lines
202 B
Markdown

# Bwana
katika mkitadha huu, mwanamke Msamalia anamwita Yesu "Bwana" ambayo ni neno la upole au unyenyekevu.
# teka maji
"pata maji" au "vuta maji kutoka ndani ya kisima" kwa kutumia chombo na kamba