sw_tn/jhn/04/15.md

202 B

Bwana

katika mkitadha huu, mwanamke Msamalia anamwita Yesu "Bwana" ambayo ni neno la upole au unyenyekevu.

teka maji

"pata maji" au "vuta maji kutoka ndani ya kisima" kwa kutumia chombo na kamba