sw_tn/jhn/04/13.md

313 B

atapata kiu tena

"atahitaji kunywa maji tena.""

maji nimpayo yatakuwa chemchemi ndani yake

Neno "chemchemi" ni fumbo kwa maji yatiayo uzima. "maji nitakayompa yatakua kama chemchemi ya maji ndani yake."

uzima wa milele

hapa "uzima" lina maanisha "uzima wa kiroho" ambao ni Mungu pekee anayeweza kutoa.