forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
313 B
Markdown
12 lines
313 B
Markdown
|
# atapata kiu tena
|
||
|
|
||
|
"atahitaji kunywa maji tena.""
|
||
|
|
||
|
# maji nimpayo yatakuwa chemchemi ndani yake
|
||
|
|
||
|
Neno "chemchemi" ni fumbo kwa maji yatiayo uzima. "maji nitakayompa yatakua kama chemchemi ya maji ndani yake."
|
||
|
|
||
|
# uzima wa milele
|
||
|
|
||
|
hapa "uzima" lina maanisha "uzima wa kiroho" ambao ni Mungu pekee anayeweza kutoa.
|