sw_tn/jhn/03/14.md

430 B

Kama vile Musa alivyomwinua juu yule nyoka jangwani

hili ni fumbo baadhi ya watu "watainua" Yesu kama Musa alivyoinuliwa nyoka wa shaba katika jangwa.

Vivyo hivyo Mwana wa Adamu ni lazima ainuliwe juu

Jangwani ni sehemu kavu lakini hapa anamaanisha mahali walipotembea Musa na Waisraeli.

katika jangwa

Jangwani ni sehemu kavu, sehemu ya jangwa, lakini hapa wanamaanisha mahali ambapo Musa na Waisraeli walizunguka."