sw_tn/jhn/03/09.md

424 B

Mambo haya yanawezekanaje?

hili ni swali mbalaga ambalo linalosisitiza sentesi. "Hii hawezekani!" au" Hili haliwezi kutokea!"

Wewe ni mwalimu wa Israeli na hauyajui mambo haya?

Hili ni swali mbagala ambalo linaonyesha msisitizo. "weweni mwalimu wa Israeli , na ninashangaa kwamba haufahamu maneno haya!"

Amini, amini

Tafsiri kama ulivyotafsiri.

twazungumza

Yesu aliposema "sisi' hakuwa anamjumuisha Nikodemo.